Your Cart

Machozi ya Ufanisi

Machozi ya Ufanisi

A Hadithi Fupi

Stephen Mwangi Mbugua
2400

GENRE Hadithi Fupi Category
BOOK FORMAT paperback Binding
RELEASED 2026 Mar 28
LANGUAGE EN English
LENGTH --- Pages
PUBLISHER LEA
Publishers
ISBN TBA ID

Synopsis

Hiki ni kisa cha mtu aliyepitia madhila kochokocho na kukumbwa na changamoto mbalimbali maishani. Hadithi hii inachambua kinagaubaga maisha ya kijana Tafi toka utotoni. Mambo mengi aliyoyapitia ujanani ni ya kweli na kusisimua, na kutia hima vijana chipukizi hususan kwenye michakato ya kufikia ufanisi wao. Maisha yake yalianzia mbali hata kabla ya vurugu ya mapambano ya wanaharakati wa uhuru wa Kenya. Hadithi hii inaangazia ari na hamasa ya kijana Tafi kufikia upeo wa lengo lake, ikiwapo kupanda na kushuka maishani kukiwa ni jambo la kawaida. Aidha, hadithi hii ina visa vya kujifunza mengi na hata wewe mpendwa msomaji hutajuta kuisoma. Asante.

Publishers Description

LEA Publishers